Simba saba wamekutwa wamekufa Hifadhi ya
Jamii ya Ikona (WMA) wilayani Serengeti, mkoani Mara baada ya mfugaji
mmoja wa Kijiji cha Park Nyigoti kudaiwa kuwatega kwa sumu, kufuatia
ng’ombe wake mmoja kukamatwa malishoni ndani ya hifadhi hiyo.
Tukio hilo lilibainika