button

anim

Tally

advert2

security

Advert

Advert
Advert

babu

babu
leokwetu

mochrispoadver

pub

pub

flashplayer

Friday, September 26, 2014

‘I should have known’ – Wema Sepetu apost ujumbe uliowafumba wengi Instagram

Kuna tetesi kuwa Wema Sepetu na Diamond Platnumz hawapo tena pamoja. Magazeti ya udaku yameandika kuwa Diamond anataka kuoa.. lakini mwanamke anayetaka kumuoa si Wema, ni Meninah! Hatujaweza kuthibitisha ukweli wa tetesi hizo lakini kuna dalili nyingi kuwa hakuna amani tena paradiso.
wpid-wema-akiwa-pembeni-kumsupport-diamond1.jpg
Tetesi za kuvunjika kwa power couple hiyo ya Bongo, zimechochewa zaidi na post ya mafumbo ya Wema Sepetu kwenye Instagram. Katika post hiyo, Wema ameweka picha yenye
rangi nyekundu pekee yake na kuandika ‘I shouldve known’.
Picha hiyo imezua maswali mengi kwa followers wake zaidi ya 211,133 kwenye mtandao huo unaopendwa Tanzania.
Haya ni baadhi ya maoni:

modestae68

@wemasepetu haya mbwa mwitu huyoooo katoka hakuna cha princess sasha,superstar wala ile filam uliyosema unacheza kama mgonjwa wa kansa ukanyoa kipara yaani naumia kuona hivyo wema vp? Acha mambo ya kugawa pesa majukwaani sio wote wanaokushangilia unapopanda ktk majukwaa wengine wanakuzomea hukui? Acha kulewa sifa za team za kukusifia kila ufanyalo yaani sijui niseme nn nikiona wenzio wanavyosonga mbele naumia alafu wewe unaonyesha ufahari majukwaani mmmh kweli hakuna kizuri kinachokosa kasoro haya watakaonitukana poa tu lkn mm wema ni kama mdogo wangu nampenda sana ndio maana namwambia sasa wale waliozoea kutukana tukaneni mpaka mchoke lkn nyie nyie mlikuwa mnasema ktk kampen ya bring our wema hivyo sitoshangaa.mm nitaongea mpaka siku nikiona mabadiliko nafikiri ndio siku nitakayoridhika japo ni kwa faida yake na siyo yangu ila sio mbaya kumwambia mtu kitu chenye faida kwake hata kama huna faida nacho.am still love u wema.
mwelumwikya
I saw this coming @wemasepetu you are a beautiful girl with brains you should not worry at all he is only 25
patrarobert

sitaki kuamini kuwa uko kwenye majuto…na hasa kama majuto yenyewe yanahusiana na mahusiano yako ya kimapenzi….bt kama ndivyo;kwanza pole…kila kitu knatokea kwasababu…angalia ulipojkwaa,nyanyuka futa vumbi…anza upya…Kama n jambo lingine…do the same:ILA U BETTER START LIVING…START ACTING LIKE A LADY…kila mtu ana kasoro zake…n kweli ila zako znaonekana zaidi kwa sababu u r on spotlight…na kwasababu u r an attention seeker…achana na hayo mambo wema…sitaki kuamini kuwa wewe n sikio la kufa…tuko wengi yametukuta mengi sababu ya kutosikiliza wazazi…kusema tu “nampenda mama angu,she z my everything”bila kumtii na kufuata maagizo yake n bure…na AMINI kuwa u wont rest mpaka ukianza kumtii mzazi wako…kama ni huyo diamond atakusumbua mpaka uchanganyikiwe kwasababu huo uhusiano hauna baraka za mama ako…unaweza ona kama kakuruhusu…inabidi akuache ufanye utakalo ili dunia ikufundishe…HUJACHELEWA… @wemasepetu @wemasepetu

callyrissanen
Sijui unachokiongelea kama ni majuto au surprise nzuri. Cha muhimu nakwambia kama dada mkubwa lol, acha starehe za kugawa pesa kwenye kadamnasi. Wekeza hizo pesa uende vacation hata hapo PARIS TUU wewe na umpendaye, sio lazima awe baby yako chibu. Weka pesa na ujijengee tabia ya kutoka outings za kwenda kwenye hotel nzuri kula chakula kizuri wewe na familia yako au mtu umpendaye, sio lazima awe baby yako Chibu. Weka pesa nenda gym kujikeep busy angalau mara 3 kwa wiki, sio lazima na baby yako chibu kwani utapata personal trainer. Weka pesa na acha kuwanufaisha hao wacheza show kwani ukifulia watapata maneno ya kutungia wimbo. Take care and remember that;this too shall pass!!
magz_16
You all need to leave these two have fun and enjoy each other as it lasts.Diamond is still a young boy…!!!How old is he again!!!Hes got a looong way to go as a man.@wemasepetu ….if i were you..i would just focus more on making money and building my future!!Build a house…be a business woman…date real men that will not be intimidated to help me rise up there….I would make money more than even Diamond himself…I would rise like i have never before..and why?coz i carry a powerful name…iam beautiful..and Educated too.I wouldnt go clubbing splashing money on artists..i will go out there make money than all my exes…and my current boyfriend.I would make sure…east Africa knows who # Wema..as a Brand..and not just as diamond girlfriend.I wish you all the best sweetie….stay Focus

Unahisi anajuta kurudiana na Diamond na huenda wakawa wameachana kweli? Tupia maoni yako