button

anim

Tally

advert2

security

Advert

Advert
Advert

babu

babu
leokwetu

mochrispoadver

pub

pub

flashplayer

Tuesday, October 21, 2014

Sitti Mtemvu kuvuliwa taji la Miss Tanzania 2014 leo?

Waandaji Miss Tanzania, Lino International wanakutana na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuzungumzia skendo ya umri wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu. Swali ni Je! Atavuliwa taji hilo?
VMP_1357-L
IMG_2320-L
Wengi wanahoji umri halisi wa Bi Sitti Mtemvu wakisema
alidanganya. Lillian Kamazima alikuwa mshindi wa pili, ambapo Jihhan Dimachk alishika nafasi ya tatu.
VMP_1357-L
VMP_1400-L
Mara baada ya kutwaa taji hilo kumeibuka utata juu ya umri wa Miss Tanzania 2014.
Habari zimezagaa katika mitandao ya kijamii, ambapo anatuhumiwa kudanganya umri wake. Kuna taarifa zinasema Bi Sitti alitaja kuwa ana umri wa miaka 18 huku vitambulisho vyake vinaonesha kuwa ana miaka 26.
VMP_1332-L

No comments: