button

anim

Tally

advert2

security

Advert

Advert
Advert

babu

babu
leokwetu

mochrispoadver

pub

pub

flashplayer

Sunday, July 12, 2015

MHE. MAGUFULI AONGOZA KWA ASILIMIA 87 YA KURA ZA MKUTANO MKUU

MATOKEO ya kura za wagombea wa Mkutano Mkuu uliokutana jana usiku ni: Mhe. John Pombe Magufuli 87%, Balozi Amina Salum Ali 10% na Dk. Asha-Rose Migiro 3%. Kwa sasa wajumbe wa Mkutano Mkuu wanaingia ukumbini ili kuendelea na kikao chao kilichoahirishwa jana na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.

No comments: