button

anim

Tally

advert2

security

Advert

Advert
Advert

babu

babu
leokwetu

mochrispoadver

pub

pub

flashplayer

Saturday, December 6, 2014

Rais JK: Nitaamua kwa Maslahi ya Nchi ila Sishinikizwi!

Nimegundua Jk ni rais ambaye hakika Watz hatutomsahau na hatupaswi kumsahau, ametoa uhuru hata wa kumtukana akakaa kimya,wa kumshinikiza na bado akawa calm,wa kujaribu kuichezea na kuijaribu serikali yake na bado akakuvumilia. Neno moja kwenu nyie vibaraka wa wasaka U-rais, wafanyabiashara madalali na wengine wenye kariba ya kutotaka kuona mwenzio anaweka historia ya kuitumikia nchi yake kwa mafanikio makubwa,wakati Rais Kikwete anaingia madarakan ni asilimia 6 wa wananchi wote walokuwa wanapata umeme,leo hii Watz asilimia 35 wanaaccess na umeme hasa vijijini, barabara za rami ameongeza kwa asilimia 25 network ya barabara za rami, huduma za afya karibu kila kijiji kina zahanati na kila kata kuna kituo cha afya na mengine mengi, juzi nimepata kusikia tunafanya vizuri katika kupambana na rushwa. Ila siwalaumu sana ila ndo tulivyo na itabaki kama challenge kwa rais ajaye, ila kwa ufupi serikali hii imejitahidi sana tena sana but one word kwenu vibaraka, mipango yenu na mabeberu wa magharibi inajulikana na mtashindwa

No comments: