button

anim

Tally

advert2

security

Advert

Advert
Advert

babu

babu
leokwetu

mochrispoadver

pub

pub

flashplayer

Saturday, November 22, 2014

Tanzania Imeisha Jamani Ona Hii Kitu Jinsi Wenye Nchi Wanavyogawana Mabilioni ya Fedha Huku Hospitalini Hakuna Dawa


Picha Hapo Juu ikionyesha Mgawanyo wa Fedha.....

Mwee....Hapana sio kila siku ni jumapili .siku nyingine ni ijumaa wakishindwa tutaingia mtaani kudai haki zetu .pamoja na ukawa tunaweza sio kitu ,ushenzi kama huu unatakiwa ukomeshwe ili tufike tnako taka kwenda watu wachache wanagawana hela ya kusambaza madawa nchi nzima huu ni

uonevu wa wanyoge hatukubali..

Hili Sakata la ESKROW ni matata matupu.
1. Ziara ya Jaji Mkuu kwenda kumtembelea Mh. Rais (nini ulikuwa mjadala)?
2. Maamuzi ya kusema Sakata hili lisijadiliwe Bungeni liko Mahakamani... Je linatokana na Ziara?
3. Waziri Mkuu kutaka Busara itumike. Ipi? labda angetoa ufafanuzi...
4. Wabunge kutoridhishwa na mwenendo wa Sakata na na namna Serikali inavyotaka kulifunika funika.
Spika uamuzi wako utaliokoa Taifa au kulididimiza. Ni wazi kabisa ukumbuke hapo ulipo utakachokifanya kitadhihirisha umoja wa uovu au weledi wako kupingana na maovu..

No comments: