button

anim

Tally

advert2

security

Advert

Advert
Advert

babu

babu
leokwetu

mochrispoadver

pub

pub

flashplayer

Monday, October 20, 2014

Picha: Vazi alilovaa Kim Kardashian jana mbele ya mumewe ni aibu!

Tunafahamu kuwa Kim Kardashian anapenda fashion, lakini kwa vazi hili alilokuwa amevaa jana mchana kweupe wakati yeye na mumewe Kanye West walikuwa wakikatiza mitaa ya jiji la Los Angeles Jumapili ya jana huenda likawa limezidi.

1413748462855_wps_5_Picture_Shows_Kanye_West_
Mrembo huyo mwenye miaka 33 aliamua kuwapa watazamaji show ya bure
ya mgongo wake baada ya kuvaa kitop kilichoziba sehemu za mbele tu lakini nyuma kikamwaga radhi. Pengine maana ya kuvaa vazi hilo ni kumpa mumewe nafasi nzuri ya kuona mgongo wa mke wake kwakuwa mara nyingi Kanye alikuwa nyuma kuushuhudia bila kujali macho ya watu wengine.
1413760885242_wps_58_Junk_food_alert_Kim_Karda
1413748398504_wps_3_Picture_Shows_Kim_Kardash
1413755380026_wps_12_Picture_Shows_Kim_Kardash
1413755525861_Image_galleryImage_Picture_Shows_Kim_Kardash
1413760725428_wps_56_Junk_food_alert_Kim_Karda
1413760806100_wps_57_Junk_food_alert_Kim_Karda

No comments: