button

anim

Tally

advert2

security

Advert

Advert
Advert

babu

babu
leokwetu

mochrispoadver

pub

pub

flashplayer

Sunday, September 14, 2014

Picha: Wakazi wa Geita wapata shangwe za Serengeti Fiesta 2014

Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 Jumamosi ya jana (14 September) zilidondoka ndani ya mkoa wa Geita katika ukumbi wa Desire na kuacha burudani ya nguvu kutoka kwa wasanii 
mbalimbali.
Recho

PICHA ZAIDI ENDELEA


Mr Blue akiimba mashabiki
Mr Blue akiimba na mashabiki

Fiesta ambayo ni kwa mara ya kwanza kutoa buruduani Geita ilijumuisha burudani kutoka kwa wasanii kama Linah, Ommy Dimpoz, Recho, Khadija Maumivu, Young Killer Msodoki, Mr Blue, Stamina, Chege na Temba pamoja na Nay wa Mitego.

Fid Q akiwa  na mchumba toka Geita
Fid Q akiwa na mchumba toka Geita

Full shangwe
Full shangwe

Linah akiwa na Amini wa Geita
Linah akitimiza ndoto za kijana wa Geita

Mo Music akifanya yake

Nay wa Mitego
Nikki wa Pili akifanya yake
Nick wa Pili akifanya yake


Ommy Dimpoz akifanya yake
Ommy Dimpoz akifanya yake

Barakah Da Prince
Barakah Da Prince

Recho
Recho

Stamina
Stamina

Young Killer
Young Killer
IMG_7118

IMG_7170
IMG_7195
IMG_7205
IMG_7219
IMG_7221
IMG_7226
IMG_7235
IMG_7243
IMG_7262
IMG_7272
IMG_7274
IMG_7304

No comments: