mbalimbali.
PICHA ZAIDI ENDELEA

Mr Blue akiimba na mashabiki
Fiesta ambayo ni kwa mara ya kwanza kutoa buruduani Geita ilijumuisha burudani kutoka kwa wasanii kama Linah, Ommy Dimpoz, Recho, Khadija Maumivu, Young Killer Msodoki, Mr Blue, Stamina, Chege na Temba pamoja na Nay wa Mitego.

Fid Q akiwa na mchumba toka Geita

Full shangwe

Linah akitimiza ndoto za kijana wa Geita



Nick wa Pili akifanya yake

Ommy Dimpoz akifanya yake

Barakah Da Prince

Recho

Stamina

Young Killer













No comments:
Post a Comment